jog

jog

Wednesday, October 1, 2014

WAUEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!

JAMAA kaingia bar akaagiza mzinga wa konyagi kisha akaanza kuufakamia haraka haraka kama anawahi sehem>>>>

WEITA:He wewe mbona unafakamia pombe kiasi hicho?

JAMAA:Yaani hata wewe ungefanya ninachofanya endapo ungekuwa na mawazo hivi?

WEITA:Hali gani jamani,mawazo ni sehemu ya maisha hebu niambie nikusaidie

JAMAA:Yaani hapa nina jero tu mfukoni nawaza huu mzinga ntaulipiaje

 

No comments:

Post a Comment