JAMAA kaingia bar akaagiza mzinga wa konyagi kisha akaanza kuufakamia haraka haraka kama anawahi sehem>>>>
WEITA:He wewe mbona unafakamia pombe kiasi hicho?
JAMAA:Yaani hata wewe ungefanya ninachofanya endapo ungekuwa na mawazo hivi?
WEITA:Hali gani jamani,mawazo ni sehemu ya maisha hebu niambie nikusaidie
JAMAA:Yaani hapa nina jero tu mfukoni nawaza huu mzinga ntaulipiaje
WEITA:He wewe mbona unafakamia pombe kiasi hicho?
JAMAA:Yaani hata wewe ungefanya ninachofanya endapo ungekuwa na mawazo hivi?
WEITA:Hali gani jamani,mawazo ni sehemu ya maisha hebu niambie nikusaidie
JAMAA:Yaani hapa nina jero tu mfukoni nawaza huu mzinga ntaulipiaje
No comments:
Post a Comment