jog

jog

Wednesday, October 1, 2014

POMBE NI HATARII

JAMAA KALEWA KINOMA akawa anajikongoja kwenda nyumbani mdogo mdogo huku akitambaa 
ghafla akasimamishwa na askari doria

ASKARI:mZEE UMELEWA sana inabidi nkukodie tax ikupeleke nyumbani kwani sa hizi hutakiwi kuwa barabarani si salama

MZEE:kwani polisi unauhakika gani kuwa nimelewa ?

ASKARI:mzee mi ni mtaalam wa mambo haya na niamini mimi kuwa umelewa sana

MZEE:yaaaani we polisi unauhakika au unafurahisha tu jamii

ASKARI:Ninauhakika na pia usinipotezee muda twende>>>.......

MZEE:ooooooph !!!!!!!!!!!!Mungu mkubwa kumbe nimelewa,nilidhani mimi ni kiwete

No comments:

Post a Comment