JAMAA KALEWA KINOMA akawa anajikongoja kwenda nyumbani mdogo mdogo huku akitambaa
ghafla akasimamishwa na askari doria
ASKARI:mZEE UMELEWA sana inabidi nkukodie tax ikupeleke nyumbani kwani sa hizi hutakiwi kuwa barabarani si salama
MZEE:kwani polisi unauhakika gani kuwa nimelewa ?
ASKARI:mzee mi ni mtaalam wa mambo haya na niamini mimi kuwa umelewa sana
MZEE:yaaaani we polisi unauhakika au unafurahisha tu jamii
ASKARI:Ninauhakika na pia usinipotezee muda twende>>>.......
MZEE:ooooooph !!!!!!!!!!!!Mungu mkubwa kumbe nimelewa,nilidhani mimi ni kiwete
ghafla akasimamishwa na askari doria
ASKARI:mZEE UMELEWA sana inabidi nkukodie tax ikupeleke nyumbani kwani sa hizi hutakiwi kuwa barabarani si salama
MZEE:kwani polisi unauhakika gani kuwa nimelewa ?
ASKARI:mzee mi ni mtaalam wa mambo haya na niamini mimi kuwa umelewa sana
MZEE:yaaaani we polisi unauhakika au unafurahisha tu jamii
ASKARI:Ninauhakika na pia usinipotezee muda twende>>>.......
MZEE:ooooooph !!!!!!!!!!!!Mungu mkubwa kumbe nimelewa,nilidhani mimi ni kiwete
No comments:
Post a Comment