jog

jog

Wednesday, October 1, 2014

KICHEKELEO:MMMH HAYA MAISHA NI SOOO

JAMAA WAWILI MMOJA TAJIRI NA MWINGINE MASKINI WAKO DUKANI WANANUA ZAWADI KWA AJILI YA WAPENZI ZAO:

Maskini:vip mwenzangu wamnunulia nini mamsap?

Tajiri:mi namnunulia pete ya almasi  na gari kali la milioni mia moja

Maskini:hee kwanini unamnunulia vyote hivyo si ungemnunulia kimoja?

Tajiri:ILI ASIPOPENDA ALMASI aendeshe gari??vip wewe mwenzangu wamnunulia nini

Maskini:mimi namnunulia KANDAMBILI  pamoja na sumu ya panya,ili aispopenda kandambili nimwambie akafie mbele



No comments:

Post a Comment