jog

jog

Sunday, October 5, 2014

KICHEKELEO:HUYU NAE

MGONJWA:Dokta kuna ndoto inanijia kila usiku naomba msaada wako
DOKTA: Unaota nini?
MGONJWA: Dokta naona mademu masupasta wote wa bongo wanapigania kunibaka, me napigana nao nawatandika mangumi mpaka wanakimbia wote
DOKTA: Sasa watakaje ndugu yangu
MGONJWA: Dokta tafadhali nikate hii mikono

Wednesday, October 1, 2014

KICHEKELEO:MMMH HAYA MAISHA NI SOOO

JAMAA WAWILI MMOJA TAJIRI NA MWINGINE MASKINI WAKO DUKANI WANANUA ZAWADI KWA AJILI YA WAPENZI ZAO:

Maskini:vip mwenzangu wamnunulia nini mamsap?

Tajiri:mi namnunulia pete ya almasi  na gari kali la milioni mia moja

Maskini:hee kwanini unamnunulia vyote hivyo si ungemnunulia kimoja?

Tajiri:ILI ASIPOPENDA ALMASI aendeshe gari??vip wewe mwenzangu wamnunulia nini

Maskini:mimi namnunulia KANDAMBILI  pamoja na sumu ya panya,ili aispopenda kandambili nimwambie akafie mbele



MAPICHA:we mwanya na kicheko mweeeee

POMBE NI HATARII

JAMAA KALEWA KINOMA akawa anajikongoja kwenda nyumbani mdogo mdogo huku akitambaa 
ghafla akasimamishwa na askari doria

ASKARI:mZEE UMELEWA sana inabidi nkukodie tax ikupeleke nyumbani kwani sa hizi hutakiwi kuwa barabarani si salama

MZEE:kwani polisi unauhakika gani kuwa nimelewa ?

ASKARI:mzee mi ni mtaalam wa mambo haya na niamini mimi kuwa umelewa sana

MZEE:yaaaani we polisi unauhakika au unafurahisha tu jamii

ASKARI:Ninauhakika na pia usinipotezee muda twende>>>.......

MZEE:ooooooph !!!!!!!!!!!!Mungu mkubwa kumbe nimelewa,nilidhani mimi ni kiwete

WAUEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!

JAMAA kaingia bar akaagiza mzinga wa konyagi kisha akaanza kuufakamia haraka haraka kama anawahi sehem>>>>

WEITA:He wewe mbona unafakamia pombe kiasi hicho?

JAMAA:Yaani hata wewe ungefanya ninachofanya endapo ungekuwa na mawazo hivi?

WEITA:Hali gani jamani,mawazo ni sehemu ya maisha hebu niambie nikusaidie

JAMAA:Yaani hapa nina jero tu mfukoni nawaza huu mzinga ntaulipiaje