jog

jog

Saturday, May 21, 2016

SORRY NILIKUWA NAKUTANIA


MKAKA: Sweety mambo?
MDADA: Poa asante
MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe milele, naomba nikuoe
MDADA: Haleluya, hatimae sala zangu zimejibu, nimepata taabu sana mimi kaka, nimedanganywa na wanaume wengi nikajitahidi kutumia waganga wengi ili nipate mume haikuwezekana, nikaamua kuokoka , nikafunga sana na kukesha sana na kutoa sadaka sana hakikutokea kitu, nikaamua kujiingiza hata katika klabu za mpira, mwaka mmoja nikawa Yanga mwingine nikawa simba, wapi sikupata mume wa kunioa, nikajikondesha niwe na shepu ya kimiss lakini bure, nikahama toka Moshi nikaenda Tanga na hatimae kuja kuja Dar haikusaidia, nikajiunga na facebook, twitter, instagram, whatsapp nikaanzisha mpaka blog ya kujieleza natafuta mume, sikupata mume  wa kunitamikia atanioa, nikajitahidi kuhudhuria maharusi mbalimbali bure, hatimae leo maombi yangu yamejibu, asante sana kaka niko tayari hata leo kufunga ndoa
MKAKA: Nakutaniaaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment