jog

jog

Monday, January 13, 2014

CHEKAAAAAAAA KIDOGO



Yanki mmoja alikuwa na mke wa mtu, tena nyumbani kwa mwanamke yule wakati mwenye mali  yuko kazini. Mvua kubwa ikaanza hali ya hewa ikawa nzuri zaidi na wazinzi hawa wakawa wanafurahi zaidi, ghafla mke akasikia gari la mumewe, akamwambia mpenzi wake, 'Amka haraka tokea dirishani jamaa atatuua wote'. Jamaa si akaanza ubishi, eti ohh ntatokaje nje na kuna mvua?,  mke akawa mkali,' Pumbavu mkubwa, akiingia humu ni kifo wewe'. Basi jamaa akachukua nguo zake na kujitosa nje kupitia dirishani na kutokomoea vichochoroni. Ile anaingia barabara kubwa akakutana na kundi kubwa la watu wanakimbia mchakamchaka nae akajiunga humo. Jamaa wakawa wanamshangaa, mmoja akammuuliza,' Mbona unakimbia mchakamchaka uchi?' Muasherati akajibu, 'Unajua huwa napenda kukimbia hivi inasaidia kiafya'. Akaulizwa tena, 'Yaani ndio ukimbie umevaa kondom?'. Jamaa bila wasiwasi akajibu, 'Hii nimevaa kwa kuwa leo kuna mvua '

No comments:

Post a Comment